
Picha ya msanii Harmonize
Bonyeza hapa kutazama alivyozungumza kwa uchungu kuhusiana na suala hilo.
Staa wa mziki nchini Harmonize ameibua mapya kwa kueleza kuwa hajaonja matunda ya mziki wake kwa zaidi miaka 7 iliyopita na hajui ni nani anayechukua pesa hizo kupitia Digital Platform.
Picha ya msanii Harmonize
Bonyeza hapa kutazama alivyozungumza kwa uchungu kuhusiana na suala hilo.