Picha ya Harmonize
Kwenye Insta Story yake Harmonize ameandika kwamba "Hakuna video ya mtaje, narudia tena haya ni mambo binafsi, acha kupost kama unafikiri ni promotions, unaniua".
Harmonize ame-make headlines mitandaoni kupitia maelezo yake kwenye Insta Story akieleza kwamba hana furaha, kuna mtu ame-miss, pamoja na mausala ya kifamilia.


