Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dogo Janja, Faiza, Shilole, Madee wafanya maamuzi

Jumatano , 28th Oct , 2020

Leo ni Oktoba 28 ni siku ambayo wananchi wa Tanzania wanapata nafasi ya kuchagua viongozi watakaowaongoza kwenye miaka mitano ijayo kuanzia Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani.

Picha ya kati ni Faiza Ally, kulia ni Dogo Janja, kushoto ni kitambulisho alichotumia msanii wa filamu Riyama Ally

Hawa hapa ni baadhi ya mastaa ambao tayari wameshapiga kura kwenye vituo vyao walivyojiandikishia ambapo wameshea picha, video na maandishi kwenye mitandao yao ya kijamii zikiwaonyesha wameshamaliza kufanya tukio hilo ili kuhimiza watu wengine wakapige kura.

"Nimepiga kura, Uchaguzi wa amani Tanzania" msanii Quick Rocka 

"Ni haki yako usiipoteze, piga kura" msanii Dogo Janja 

"Nimepiga kura, nina furaha nimejipa haki yangu, sehemu za uchaguzi ziko salama sana, nimefurahi kuona amani na utulivu kila nilipopita, Mungu naomba endelea kutupa amani katika nchi yetu, naipenda Tanzania yangu" Mfanyabiashara Faiza Ally 

"Alhamdulilah nimeshatimiza wajibu wangu, nawaombea mashabiki zangu na marafiki zangu uchaguzi mwema, tukimaliza kupiga kura turudi nyumbani kufuatilia matokeo katika TV na Radio, mimi nipo hapa sebuleni nafuatilia matokeo, Tanzania yetu, amani yetu, urithi wetu" msanii wa filamu Riyama Ally 

"Nimetimiza haki yangu ya msingi" msanii Madee Seneda 

"Nimefurahi sana nimetimiza haki yangu ya msingi" msanii Shilole

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali