Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ditto 'aimba wimbo wa KAZI' wa Rais Magufuli

Jumanne , 10th Jan , 2017

Msanii wa muziki wa bongo fleva Lameck Ditto ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Moyo sukuma damu' amefunguka na kuwashauri vijana pamoja na wasanii kujifunza kutoka na kwenda kutafuta kazi.

Lameck Ditto

Amesema kusubiri kazi inaweza kuchukua muda mrefu kuipata na pia utakuwa unajifunga fursa nyingine ambazo huenda zinasubiri jitihada yako tu ili zifunguke.

Ditto amesema hayo kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EATV na kusema hakuna mtu anaweza kukutafuta ili akupe kazi bali unatakiwa kujituma kutafuta kazi ili kupata kazi hiyo.

"Dunia ya sasa imebadilika hukuna mtu anaweza kukufuata ili akupe kazi ila inatakiwa kutoka na kwenda kuitafuta kazi, hata kwa wasanii wanatakiwa kutambua kuwa muziki saizi ni kazi na biashara hivyo wanapaswa kuwa na uongozi ambao utakuwa na kazi ya kutafuta kazi kwa ajili ya msanii huyo. Msanii saizi kusema umekaa tu unasubiri kazi zije unaweza kupata kazi mbili wakati huenda ungezitafuta kazi hizo ungepata kazi zaidi ya 20 ambazo zote unakuta zilikuwa zinakusubiri wewe". Alisema Ditto 

"Mfano sisi wasanii kuna makampuni unakuta yanataka kukutana na msanii fulani lakini yanashindwa kumpata huyo msanii, hivyo wasanii wasisubiri mpaka wafuatwe na makampuni bali wanatakiwa wao kuyatafuta hayo makampuni na kufanya nao kazi" alisema Lameck Ditto 

Suala la vijana kufanya kazi limekuwa likisisitizwa zaidi na Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli, na hatua hii ya Ditto inaamanisha kuwa msanii huyo ameanza kuimba wimbo ambao umekuwa ukiimbwa na Rais Magufuli

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali