Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Darassa amuiga Prof Jay

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Msanii Darassa amesema kwamba katika maisha yake anatembea kupitia darasa la Prof. Jay hata kama hataweza kuwa mbunge atajitahidi kuishi kwenye misingi iliyo imara.

Akizungumza Jumapili hii kwenye tafrija iliyoandaliwa na Prof Jay kwenye jimbo la Mikumi, Darassa amesema kwamba tangu ameanza kumjua nguli huyo wa hip hop bongo na kumfuatilia amekuwa nguzo kubwa ya kumuongoza na jinsi ya kutokubali kushindwa.

"Prof Jay ni mtu ambaye amekuwa na ushawishi mkubwa sana kwangu. Alianza kupigania huu muziki kuanzia bahari ya muziki wa bong fleva haiko sawa na sasa hivi imetulia ametuachia wadogo zake, lakini pia ametuonesha siyo muziki tu hata unaweza kuwa kiongozi na watu wakakupatia heshima akawa mbunge na sasa hivi tunasherehekea harusi yake amekuwa baba wa familia. Kwa upande wangu nitazidi kujifunza kupitia Jay hata kama sitakuwa Mbunge lakini nitaishi katika misingi kama ya kwake", alisema.

Akizungumzia jinsi Prof alivyoweza kumtambua kama msanii darassa amesema kwamba

"Madini siku zote yanajuana. Kwa mara ya kwanza nilimsikia Prof akinisifia kwenye redio kipindi mimi nikiwa bado mtaani nahangaika kupata nafasi nikiwa na wimbo mmoja wa 'Sikati Tamaa' na alinitabiria makubwa na hata siku naonana nae alinitia nguvu sana ndio maana nasema atazidi kuwa Mwalimu wangu" Darassa

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu