Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chemical afunguka kisa cha kubadili muonekano

Jumanne , 25th Jul , 2017

Rapa wa kike anayefanya vizuri na ngoma ya 'Queen Of Dar es salaam', Chemical ameweka wazi sababu ya kukubali kubadili muonekano kwenye video mpya ya Msami 'So Fine' iliyotoka hivi karibuni ni kutaka kujiona yeye mwenyewe kwenye muonekana mpya. 

Rapa Chemical akiwa kwenye muonekano mpya.

Akifanya mahojiano na EATV Website, Chemical amesema baada ya Msami kumuelekeza kwamba anamuhitaji Chemical wa aina gani ilimfanya awe mpole hata wakati wa kufanyiwa 'Make up' ili kipatikane kitu ambacho kilidhamiriwa ingawa siyo mashabiki zake wote waliofurahi kumuona katika muonekano wa aina hiyo.

"I was so excited like Ok na mimi nataka kujiona nitakuaje kwa hiyo kuanzia make up mpaka mavazi hakuna mahali niliongea niliambiwa vaa hivi nikakubali na kila kitu alikuwa ni Msami.  Kwa hhiyo watu wasiseme kwa Chemical hawezi kuwa hivi au kuvaa hivi nataka tu wajue kwamba naweza kuwa mtu yoyote ambaye nataka kuwa" amesema.

Rapa Chemical akiwa na Msami wakati akitengeneza 

Pamoja na kuonekana na mabadiliko makubwa katika video hiyo Chemical amedai kuwa hawezi kuwaahidi mashabiki zake kama ataweza kuendelea na muonekano mpya au ule wa zamani kwani yeye ni msani.

"Chemical ni yuleyule kama kutakua na mabadiko yanahitajika kufanywa yatafanyika lakini muonekano wangu wa awali ulinitambulisha na watu walinikubali vile nilivyokuwa. Nilifanya vile pia kujua  watu wanamtaka chemical wa aina gani ingawa mpaka sasa ni 50/ 50 wapo walionikubali lakini wapo walioponda" ameongeza

Msikilize zaidi hapa chini Chemical akifunguka.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali