Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha Harmorapa kumwaga machozi kisa Alikiba

Jumanne , 30th Mar , 2021

Ni 'Headlines' za msanii wa BongoFleva Harmorapa ambaye amesema kukutana na Alikiba imekuwa kama ndoto kwake na ilimfanya atoe machozi kwa sababu hakuamini kama Alikiba ni shabiki yake na anamfuatilia.

Msanii Alikiba upande wa kushoto, kulia ni Harmorapa

"Niliona kama ndoto kukutana na brother Alikiba, dunia inamtambua kama mfalme wa muziki Africa, huyu jamaa ni mtu poa sana tofauti na watu wanavyomchukulia, ana nidhamu, heshima na upendo wa kweli kwa kila mmoja bila kubagua we niwa dizaini gani" amesema Harmorapa

"Alivyoingia 'backstage' tulipo kuwa tumekaa wasanii alikuja nilipokaa mimi, alivyofika alinikumbatia na kufurah sana kukutana na mimi, basi tukaanza kutaniana na kucheka na mbele ya story aliniambia ananikubali sana"

"Aliishangaza alipoimba mistari ya wimbo wangu, nilianza kulia sikuamini mwisho wa  picha aliniambia nataka wanaokudharau na kukuchukulia poa wakuheshimu, nikamuhoji why unasema hivyo akanijibu nataka nikubariki kwa kukupigia chorus kwenye wimbo wako mmoja" ameongeza 

Alikiba na Harmorapa walikutana siku ya mwisho ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli huko Wilayani Chato, Mkoani Geita.

Zaidi tazama hapa kwenye video.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali