Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha BongoMovie kuwa na kashfa nyingi

Jumanne , 13th Apr , 2021

Msanii wa filamu na muziki wa HipHop kwa sasa Rose Ndauka amesema wasanii wa BongoMovie walipendwa sana na mashabiki ndio maana hata wakifanya mambo madogo yanachukuliwa kwa ukubwa.

Msanii wa filamu na muziki Rose Ndauka

Rose Ndauka amesema ujio wao ulikuwa mkubwa na wakati huo hakukuwa na mitandao ya kijamii kama Instagram, WhatsApp wala Facebook ila sio kwamba walikuwa na kashfa au visa vingi.

"BongoMovie tumependwa sana na mashabiki na ujio wetu ulikuwa mkubwa sana, wakati tunatoka kulikuwa hakuna Instagram, Facebook wala WhatsApp ilikuwa ni rahisi kufanya vitu hata vikiwa vidogo ila vinachukuliwa kwa ukubwa kwenye jamii ila haimaanishi kwamba BongoFleva au tasnia zingine hazifanyi visa" ameeleza Rose Ndauka

Aidha msanii huyo ameendelea kusema tatizo hilo la kuandamwa na kashfa nyingi iliwaumiza sana wasanii wa filamu ila anawaomba mashabiki waendelee kuiheshimu kazi hiyo.

Zaidi bonyeza hapa kutazama interview nzima

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi