msanii wa bongofleva nchini Bwana Misosi
Kazi hii yenye ujumbe wa aina yake imefanywa na Misosi kwa kushirikiana na Banza Stone na msanii mkali wa bendi anayefahamika kwa jina Atanas na kuhusiana na Ujumbe na kilichomsukuma kufanya kazi kama hii, Misosi anaeleza zaidi.
