Azzy Superstar na mume wake Mr Wolfgang
Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Azzy Superstar amesema ameshakuwa kwenye mahusiano na vijana wenzie lakini wakaamuumiza hivyo bora alelewe mzungu huyo ili oane raha.
"Watu wanaponda mahusiano wanasema nafata pesa kwa mume wangu kitu ambacho sio kweli kwa sababu nimesha-date na wanaume ambao wapo na uwezo chini yangu wakasema nawalea, kwa hiyo acha na mimi nilelewe nione raha maana nishalea sana na mimi nimechoka" amesema Azzy Superstar
Zaidi mtazame hapa chini kwenye video