Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Barnaba amtaka msanii aache pombe

Jumatatu , 5th Aug , 2019

Leo tumepiga stori na msanii wa BongoFleva Barnaba Classic, ameeleza mambo mengi ikiwemo Familia yake, Lebo ya muziki, T.HT., Lifestyle pamoja na kutoa ushauri kwa wasanii wa kike.

Barnaba Classic

Barnaba Classic ameeleza hayo kupitia EATV & EA Radio Digital na kutoa ushauri kwa wasanii wa kike kama Amber Lulu na Amber Rutty kwa kufanya vitu vya kukosa maadili.

"Wajitambue na watambue nafasi zao katika Jamii kwa sababu sanaa sio kukaa uchi, kuhusu Amber Lulu ni kuendelea kumsihi kama dada yangu ajaribu kurudi najua anaanguka, anajikwaa najaribu kumsihi apunguze pombe ili kulinda maadili".

Aidha msanii huyo ameendelea kueleza kuhusu nyumba ya kukuza vipaji Tanzania (T.H.T), haijafa kama watu wanavyosema, ila kuna ukarabati unaendelea na kuanzia tarehe 19 itazinduliwa tena.

Pia Barnaba Classic amewajibu wanaombeza kuwa hajatoboa kwenye muziki upande wa kimataifa kwa kusema, bado anaamini kwenye muziki mzuri japo watu wanamsema hajavuka soko la kimataifa wala haoni maana ila wanatakiwa waheshimu uwepo wake kwenye muziki.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali