Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anjella aelezea Ugonjwa wa ajabu unaomsumbua

Jumamosi , 20th Feb , 2021

Msanii anayesaidiwa na Harmonize kwenye upande wa muziki na matibabu, Anjella ameeleza kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa miguu ambao ulimuanza tangu akiwa darasa la 7.

Msanii Anjella ndani ya studio za East Africa Radio.

Anjella amesema amepambana sana na ugonjwa huo mpaka wakakata tamaa wakabaki kufanya maombi ila anamshukuru Harmonize ambaye ameahidi atamsaidia na kumpeleka nchini India.

"Tatizo la miguu lilianza nikiwa darasa 7 sasa imepita miaka 8, nililala na nilivyoamka mguu ukawa unauma, tukakaa kama wiki ukaanza kutoa uvimbe, tukaenda Hospitali ya kwanza Ugonjwa hakuonekana ,ya pili wakasema ni tende, ya tatu wakasema mirija inayopitisha uchafu imeziba"

"Tukapambana na matibabu hadi tukapoteza matumaini, namshukuru Mungu ameniletea Harmonize ambaye amesema atanibitia na atanitafutia Hospitali za hapa wanaoweza kushughulikia tatizo langu na ikishindikana atanipeleka India" ameongeza Anjella 

Zaidi mtazame hapa chini kwenye video

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi