Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba aomba msaada kwa watanzania

Jumatano , 23rd Mei , 2018

Msanii wa Bongo Fleva mwenye 'hit song' ya 'Mvumo wa Radi' Alikiba a.k.a King kiba amefunguka na kuwaomba watanzania wanaopenda soka nchini Tanzania kiujumla wamchagulie kikosi bora wanachokikubali kutoka katika timu tofauti kwenye ligi kuu.

Alikiba ametoa kauli hiyo ikiwa zimebaki siku chache kuelekea mchezo wa kirafiki unaotarajiwa kuchezwa Juni 9, 2018 katika dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam ambapo lengo kubwa la mchezo huo ni kuhamasisha uchangiaji wa vifaa na ujenzi wa miundombinu mashuleni. 

"Kwa kutambua umuhimu wa elimu nchini nimeamua kuwa balozi wa kujitolea na siku ya Juni 9 nitacheza mchezo wa kirafiki uwanja wa Taifa kuhamasisha uchangiaji wa vifaa na ujenzi wa miundombinu mashuleni. Tukutane Taifa naomba unichagulie kikosi bora unacho kikubali kutoka timu tofauti katika ligi ya Tanzania Bara", amesema King Kiba.

Katika mchezo huo wa kirafiki Alikiba anatarajiwa kuwa nahodha wa kikosi ambacho atasaidiwa kuchaguliwa na 'followers' wake wa mitandao ya kijamii pamoja na wale wanaoshabikia muziki wake wa bongo fleva na wengine.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi