
AFANDE SELE
Hata hivyo Afande Sele amesema ni kutokana na uelewa wao kuwa mdogo kwa kuwa kubadilisha muonekano hakuchangii kazi anayofanya msanii kuwa bora, bali ubora wa kazi yenyewe ya sanaa ni kutokana na ubunifu na utofauti katika kazi.
Afande sele amewataja baadhi tu ya wasanii wa kiafrika ambao wamefanya vizuri kimataifa kama kina MIRIAM MAKEBA, MADONA na wengine wengi bila kujibadilisha wala kuongeza kitu chochote katika ngozi zao au mionekano yao.
Afande amemaliza kwa kuwasihi wasanii wenzake kupunguza kufeki maisha yao.