Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Linah asafishwa kashfa na mpenzi wake

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Mzazi mwenzake na Msanii wa bongofleva, Linah Sanga, amekanusha madai ya mpenzi wake huyo kumbana kiasi cha kukosa fursa ya kumuhudumia mwanae aliyempata na mwanamke mwingine na kusema "Linah ni mwanamke mwenye kipaumbele kwa mwanae kuliko alihisi.

Akifunguka EATV kwenye kipindi cha Friday Night Live, Shaban Mchovu (mwanaume aliyezaa na Linah) amesema kwa,mba pamoja na umaarufu alionao mzazi mwenzake hajawi kuvimba au kupotezea suala la yeye kumuhudumia mtoto wake na amemsifu kwamba mara zote amekuwa akimkumbussha na kumsisitiza kufanya hivyo na sivyo kama maneno ya watu wengine yanavyosema.

"Linah ni mwanamke ambaye anachukulia vitu serious na siyo poa kama watu wanavyomuona kwa nje. Anachukulia kipaumbele sana kwa mwanangu, sijui kama anafanya hivyo nione kama anajali sana lakini wakati mwingine unaona ana moyo haswa wa kufanya hivyo. Sijutii kuwa na Linah na enjoy sana"

Akizungumza kuhusu Linah kuvunja mahusiano na mama mtoto wake wa kwanza ambaye tayari alishamvalisha pete ya uchumba, Bw. Mchomvu amekanusha na kusema kwamba Linah hakuhusika na kuvunja mahusiano yake bali ni yeye na mpenzi wake wa awali walishindwa kutatua matatizo yao.

"Chenye mwanzo huwa na mwisho. Matatizo yalitokea tukashindwa kuyatatua sisi wenyewe mwisho wa siku ikawa ni kama mkataba umeharibika. Na kuhusu kwamba uhusiano na mpenzi wangu huyo wa zamani ulisababisha afya yake kuzorota kama jinsi watu wanavyosema mimi sina taarifa hizo nachojua yupo vizuri na mimi na familia yangu mpya tupo safi"

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi