Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Balozi wa Canada na Uingereza watembelea IPP Media

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O'Donnell na Balozi wa Uingereza nchini, David Concar  leo Mei 03, 2021, wametembelea Ofisi za East Africa Television na East Africa Radio na vyombo vya IPP na kujionea shughuli mbalimbali za uendeshaji ikiwemo uandaaji wa vipindi na urushaji matanga

Wa pili kushoto Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O'Donnell,na wa pili Kulia Balozi wa Uingereza nchini, David Concar wakiwa na Mkuu wa vipindi vya Radio wa East Africa, Lydia Igarabuza (Wa kwanza kulia}.

Wakizungumza mara baada ya ziara wameeleza kufurahishwa na mabadiliko ya teknolojia katika vyombo hivyo, pamoja na ufanyaji kazi katika vyombo hivyo vya habari.

Balozi wa Canada Nchini Pamela O'Donnell (wa kwanza kulia) akiwa na mtangazaji wa Kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio Maryam Kitosi

Ikiwa leo ni siku ya  maadhimisho  ya uhuru wa vyombo vya habari duniani, mabolozi hao walipata wasaha wakuzungumza na wafanyakazi wa vyombo vya IPP Media kuhusu uhuru wa vyomBbo vya habari, huku wakigusia lengo lao la kufanya kazi na nchi nyingine katika kusaidia kuboresha uhuru wa habari.

Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar akielezewa jambo na Mkuu wa vipindi vya East Africa Radio Lydia Igarabuza

Pia wakielezea mtazamo wa vyombo vya habari nchini wamevipongeza na kuelezea kuwa vimejikita katika kuhabarisha umma huku habari zake zikijikita  kutoka mamlaka husika na zile zitokanazo na maoni ya wananchi.

Naye Mkuu wa vipindi vya Radio wa East Africa, Lydia Igarabuza akitoa hoja juu ya kipi kifanyike katika tasnia ya habari ameeleza kuwa ipo haja ya kuboresha utaalum kwa waandishi katika maeneo mbalimbali ambapo maboresho hayo yote yanaweza yakafanyika kupitia program za kuwaongezea uwezo waandishi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali