Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Mifugo na Uvuvi izalishe ajira- Ditopile

Jumatano , 25th Mei , 2022

Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuja na Mipango kabambe ambayo itaboresha sekta hiyo ili iweze kuzalisha ajira kwa wingi kama ilivyokua miaka ya nyuma.

Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile

Ditopile ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi leo Bungeni jijini Dodoma.

"Mwaka 2014/15 Tanzania tulia tunatoa tani zaidi ya 45,000 ya minofu ya Sangara na mazao yake,lakini mwaka 2021 tumetoa tani 41,000 tu, Niwe mkweli hali ya Sangara katika Ziwa Viktoria imekua mbaya Sana sijui kama Waziri hili jambo mmeliona na kulitafutia ufumbuzi.

Ukienda kuwahoji wanachinga wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa wengi walikua waajiriwa katika Viwanda vinavyochakata mazao ya Uvuvi, Viwanda hivyo kwa sasa vimepunguza uzalishaji tukumbuke mapato yaliyokua yanapatikana kupitia Sangara yaliyokua yanaleta maendeleo nchini," Amesema Ditopile.

Amemtaka Waziri wa Uvuvi Mashimba Ndaki kuja na majibu ya msingi yanayoonesha namna gani kama Wizara wamejipanga kuhakikisha wananyanyua sekta ya Uvuvi nchini ili kuweza kuipatia Nchi mapato makubwa lakini pia kusaidia kupunguza changamoto ya ajira kupitia Uvuvi.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu