Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Fedha kuwajibika bajeti kuu 2022/23

Jumapili , 3rd Jul , 2022

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba, ameziagiza idara na vitengo vya Wizara hiyo kuhakikisha zinatimiza wajibu wake kwa ufanisi ili kuyafikia matarajio makubwa ya wananchi kutokana na mambo ambayo Serikali imejipambanua kuyatekeleza kwa mwaka wa fedha 2022/23.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Emmanuel Tutuba

Tutuba ametoa maagizo hayo jijini Dodoma wakati wa Kikao kazi cha watumishi wa Wizara hiyo kilichoangazia tathmini ya kiutendaji katika kuwatumikia wananchi ambapo amesisitiza kuwa taasisi na Idara zote zinazokusanya mapato kujipanga vizuri kuhakikisha mapato yanakusanywa ili kutimiza lengo la kiasi cha shilingi trilioni 41.9 kilichopangwa kukusanywa na kutumika kwa mwaka fedha 2022/23.

"Idara zote zinazohusika na ukusanyaji wa mapato ya ndani zihakikishe kunakuwa na usimamizi mzuri ili kazi zifanyike kwa uadilifu na kuweka mifumo madhubuti ili kuhakikisha hakuna ufujaji wa mapato ili mapato yote yakusanywe kwa wakati bila kuleta kero kwa wananchi” amesema Emmanuel Tutuba, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha.

Akitoa tathmini ya utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2021/22, Bw.  Tutuba amesema kuwa eneo la usimamizi wa mapato ya ndani limefanikiwa ambapo mpaka Juni mosi mapato ya jumla yamefikia takribani asilimia 96, mapato ya Mamlaka ya Mapato Tanzania asilimia 98 na mapato yasiyo ya kodi ya Msajili wa Hazina yamefika asilimia 102.

Aidha Tutuba ameeleza kuwa kwa mara ya kwanza Serikali imeweza kutoa fedha za miradi ya maendeleo kufikia asilimia 86, jambo ambalo halijawahi kufikiwa kwa takribani miaka 10.
 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea