Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Tizeba atoa agizo

Jumatano , 22nd Nov , 2017

Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba ameitaka Kampuni ya Mkonge ya China State Farms Agribusiness, inayofanya kazi zake mkoani Morogoro kuhakikisha inatoa mikataba inayotambulika kwa watumishi wake.

Dkt. Tizeba ametoa agizo hilo alipotembelea kiwanda cha Mkonge cha kampuni hiyo kilichopo wilayani Kilosa Mkoani Morogoro, baada ya kuapata malalamiko ya watumishi kukosa mikataba pamoja na kuwa wametimiza vigezo.

Baada ya kutembelea kiwanda hicho Dkt. Tizeba alipata nafasi ya kuonanan na wafanyakazi ambao walimweleza kero zao ambazo ni pamoja na mishahara duni, ukosefu wa mikataba na mazingira magumu ya kazi.

Kwa upande mwingine Waziri Tizeba, amewataka wawekezaji wa zao la Mkonge kutumia teknolojia itakayotoa faida zaidi na kuleta tija katika zao la Mkonge nchini sambamba na ukuaji wa pato la taifa kupitia zao hilo.

Katika mfululizo wa ziara zake mkoani Morogoro wazir Tizeba pia amepata nafasi ya kutembelea kiwanda cha Sukari cha Mkunazi 2 na kuwataka wawekezaji wa kiwanda hicho kuhakikisha kuwa uendeshaji wake hautaongeza bei ya Sukari bali utoe ahueni kwa wananchi wa hali ya chini kuweza kumudu bai za sukari.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA