Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawili washikiliwa kwa kumjeruhi Afisa Tarafa

Jumatano , 22nd Jun , 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya amesema baadhi ya Wananchi Kijiji cha Mzelezi Wilayani Ulanga wamempiga na kumjeruhi  Kaimu Afisa Tarafa ya Ruaha, George Kayola (36) wakati Afisa huyo akiwa katika majumu yake.

George Kayola alikuwa akitekeleza maagizo ya DC aliyoyatoa katika ziara yake ya kikazi Kijijini hapo ya kuzuia Watu wanaofanya shughuli za uchimbaji wa madini pembezoni mwa Hifadhi ya Barabara iliyo chini ya TANROADs.

DC Ngollo amesema Afisa huyo akiwa katika kuwazuia Watu waliokuwa wamekaidi agizo hilo ndipo mapambano dhidi yake yalianza na kupelekea Kujeruhiwa mkononi kwa kuchanwa na silaha yenye ncha kali na pia akajeruhiwa maeneo ya bega lake la Kulia. 

“Tukio limetokea June 17,2022, na tayari Jeshi la Polisi Wilaya ya Ulanga  linawashikilia Watu wawili ambao ni Edwin Luciana Dendelege (38) na Charles Orestus Madonga wakitajwa kuhusika na tukio hilo, kwa sasa Mgonjwa amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mt.Fransisko, Ifakara”

DC Ngollo amelaani vikali kitendo hicho cha Wanachi kujichukulia hatua mkononi na badala yake amesisitiza wafuate sheria na taratibu dhidi ya Watumishi wa Serikali wanapohisi wanawakosea.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali