Afisa Mipango katika mradi wa kudhibiti magonjwa yasiyopewa kipaumbele kitaifa Bw. Oscar Kaitaba
Takwimu hizo zimetolewa leo na Afisa Mipango katika mradi wa kudhibiti magonjwa yasiyopewa kipaumbele kitaifa Bw. Oscar Kaitaba wakati akielezea jitihada ambazo zimeanza kuchukuliwa na serikali za kuhakikisha inazuia magonjwa hayo.
Amesema kama wananchi hawatafuata taratibu za kitaalamu zinavyoelekeza madhara zaidi yanaweza kutokea hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuzingatia taratibu za afya.





