Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoa huduma mtandaoni wafundwa uchaguzi mkuu

Jumanne , 15th Sep , 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka watoa huduma ya habari mitandaoni kuwa makini na kuepuka joto la uchaguzi ambalo watu wengi hushindwa kustahimili hasa katika kipindi hiki cha kampeni za urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Charles Mahera

Mapema hii leo Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Charles Mahera wakati akizindua kikao kati ya tume ya uchaguzi na watoa huduma ya habari mitandaoni amewataka pia kutumia kalamu zao kulinda amani iliyopo huku akionya kuwa tume inawauwezo wa kuwachukulia hatua wadau wa uchaguzi wasiozingatia mioangozo ya maadili iliyosainiwa.

Aidha, vijana wametakiwa kujiajiri kwenye sekta hiyo huku wakizingatia kuheshimu taratibu za usajili zilizowekwa na mamlaka mbalimbali ikiwemo Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) huku wakikumbushwa jinsi NEC inavyoendelea kuweka uwanja sawa kwa washiriki wote wa uchaguzi mkuu ujao. Ambapo baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wamesema yamekuja katika wakati mzuri.

Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi imesema lengo la kikao hicho kwa watoa huduma ya habari mitandaoni ni kuongeza kukumbushana kuwa kuna maisha mengine baada ya uchaguzi mkuu hivyo ni muhimu kutumia lugha yenye staha kipindi chote cha uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 28,2020.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu