Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watano kizimbani kwa kosa la mauaji

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Watu watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, wakikabiliwa  na shtaka la kumuua mtu mmoja  aliyejulikana kwa jina la Jan Mathias Samuel.

Washtakiwa hao ni pamoja na Mohamed Mzee (23) mkazi wa magomeni makuti, Wilson Mauga (30) mkazi wa Kunduchi, Deus Kasuga (26) mkazi wa Mwananyamala, Yusuph Mwakalinga (30) mkazi wa Magomeni Usalama na Anderson Maloloso (49) ambae pia ni mkazi wa Magomeni Usalama.

Washtakiwa hao wamesomewa shtaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi, Lilian Silayo na wakili wa serikali, ASP Hamis Said ambapo washtakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na mahakama hiyo kuwa haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo na kesi hiyo imeahirishwa hadi Desemba 14,mwaka huu.

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka inadaiwa kuwa  Agosti 17, mwaka 2012 eneo la Kinondoni jijini Dar-es-Salaam, washtakiwa walidaiwa kumuua mtu aliyejulikana kwa jina la Jan Mathias Samuel.
 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali