Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wataka wanaume watolewe kwenye rasimu ya ukatili

Jumatano , 25th Jan , 2023

Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi nchini umeiomba serikali kufanya marekebisho ya rasimu ya mpango kazi wa Taifa wa kutokomeza ukatili kwa wanawake, watoto na wanaume wa mwaka 2023-2027 kwa kuondoa neno wanaume katika rasimu hiyo.

Wanawake wanaounda Mtandao wa Wanawake Tanzania, wakiongozwa na Dkt Ave Maria Semakafu (Kushoto) na Rebeca Gyumi, wa pili kutoka kushoto

Kwani kufuatia takwimu za matukio ya ukatili kwa sasa kuonekana asilimia kubwa yamekuwa yakisababishwa na kundi hilo la wanaume .

Mtandao huo umepinga uwepo wa kundi la wanaume katika rasimu hiyo kufuatia takwimu za sasa kuonesha asilimia kubwa ya wahanga wa matukio ya ukatili ni akina mama na watoto na si wanaume kama inavyojumuishwa katika mpango huo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Msichana Initiative Rebeca Gyumi, kwa pamoja wameiomba serikali kutekeleza makubaliano yaliyoafikiwa wakati wa uchukuaji maoni wakati wa mkutano wa wanajukwaa hilo na waandishi wa habari.

Kwa upande wake Dkt Ave Maria Semakafu pamoja na Dkt Rose Ruben ambaye ni Mkurugenzi wa TAMWA wamesema  kutokana na kukosekana na utafiti na ripoti za hali ya ukatili kwa wanaume serikali haina budi kutumia mpango kazi huo kwa ajili ya kusaidia kupunguza vitendo hivyo kwa makundi  ya wahanga wakubwa wa ukatili huku kwa baadhi ya wanaume  iwasaidie kupitia sehemu nyingine za kisheria 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali