Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume watakiwa kuunda vikundi, Zaina kusaidiwa

Jumatatu , 13th Sep , 2021

Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanaume kuunda vikundi vya kujadili changamoto wanazokumbana nazo na kusukuma gurudumu la maendeleo kwa kuijenga jamii yenye usawa na yenye kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na wanawake.

Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima, alipomtembelea Mama Zaina Khamis, aliyetelekezwa na mme wake

Wito huo ameutoa alipomtembelea Mama Zaina Khamis mwenye watoto 6 waliokosa fursa ya kupata elimu licha ya kuwa umri wao unastahili kuendelea na masomo anayeishi na wanaye katika Kata ya Bangulo Gongo la mboto, baada ya kutelekezwa na mume wake aliyekuwa akiishi nae Tabata. 

"Wajibu wa vyombo vya serikali lazima tujisogeze karibu na wananchi, wananchi watujue ili wajenge imani na sisi kwamba tupo karibu nao, sasa hivi tuna simu za mkononi, tuna mitandao ya kijamii tuitumie vizuri ," amesema Dkt. Gwajima. 

Kufuatia hatua hiyo Dkt. Gwajima akasema kwamba, Mama Zaina atachukuliwa na kuhifadhiwa na serikali kwenye makao maalum na salama katika kipindi hiki ambacho watoto wake wakiendelea kufanyiwa utaratibu wa kujiunga na masomo, huku wataalamu wa Maendeleo ya Jamii wakiendelea kutafuta suluhu ya changamoto ya mzazi mwenza ili kuinusuru familia hiyo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali