Hali hiyo kitaalamu inaitwa Retinitis pigmentosa , hali ambayo mtu huzaliwa akiwa nayo na haina dalili zozote.
Familia hiyo inaendelea kusafiri duniani, na sasa ikiwa huu ni mwezi wa sita wa safari yao kati ya miezi 12 waliojipangia kusafiri ambapo tayari wameshatembelea nchi za Namibia, Zambia, Tanzania, Uturuki, Mongolia na Indonesia.