Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaotumia watu wenye ulemavu kujinufaisha waonywa

Jumatano , 16th Sep , 2020

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume, amesema kuwa kumeibuka wimbi la watu wanaotumia walemavu kujipatia kipato kwa kuwa ajiri vijana wanaowatembeza walemavu katika maeneo mbalimbali Jijini humu.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume

Dkt. Mfaume amesema hayo leo, katika kikao kazi cha maafisa Ustawi wa Jamii mkoa wa Dar es Salaam, ambapo amewataka wanaofanya hivyo kuacha mara moja na wao kama mkoa wanafuatilia wahalifu hao.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng’wilabuzu Ndwata Ludigija, amesema kuwa zaidi ya kaya 10000 jijini Dar es Salaam zimeanza kunufaika na mfuko wa afya wa jamii ikiwa ni mpango wa kuhakikisha huduma za afya zinawafikia watanzania wote kwa usawa bila kujali vipato vyao.

Wadau walioshiriki katika kikao kazi hicho, wamesema kuwa mikopo kwa ajili ya vijana, wanawake na walemavu itolewe mapema ili kutekeleza miradi kwa wakati.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali