Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaoshiriki ngono kwa mdomo waonywa

Jumanne , 21st Mar , 2023

Jamii imetakiwa kujiepusha na mambo ambayo ni kinyume na utamaduni wa kitanzania ikiwemo kufanya ngono ya mdomo (Oral Sex) ili kuepuka vinywa vyao kupata maambukizi ya virusi hatari vya human papilloma vinavyosababisha ugonjwa wa saratani

Dokta Emmanuel Motega ni mkuu wa idara ya kinywa na meno katika kospitali ya Rufaa ya kanda Bugando ametoa ushauri huo mara baada ya kufanya uchunguzi wa kinywa na meno kwa wakazi wa jiji la Mwanza ndipo akawaasa kuacha tabia ya kufanya ngono ya mdomo

"Wapo virus wanaitwa hypataitis na kuna wengine wanaitwa human papilloma virus hawa ni wadudu wanaopatikana sehemu za siri wakienda mdomoni wanaweza kusababisha ugonjwa unaitwa oralwhat hata kusababisha ugonjwa wa kansa kuna aina ya kansa ambazo zinatokea mdomoni ambazo zinasababishwa na hao virus ambao eneo lake linakuwa la siri ikitokea wakahama wakaja mdomoni wanaleta madhara kwa kufanya oral sex unaweza kuwahamisha wadudu waliopo sehemu nyingine wakasababisha madhara sisi kama wataalamu wa kinywa na meno hatushauri kabisa hivyo vitendo"

"Serikali imetenga fedha kupitia ofisi ya Rais Tamisemi kwa mkoa wa Mwanza halmashauri zote zimetengewa shilingi milioni mia moja mia moja milioni 50 kwa ajili ya kununua vifaa tiba vya kinywa na meno na milioni 50 kwa ajili ya kununua vifaa tiba kwa ajili ya huduma ya macho"
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali