Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaokwenda kufanya kazi Uarabuni waonywa

Alhamisi , 22nd Jun , 2017

Mawakala wa Ajira na Watanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi hususani nchini za kiarabu wametakiwa kupitia kwenye mfumo uliaondaliwa na serikali ili kuepusha unyanyasi, ukatili ukiwemo mauaji yanayowakuta katika nchi wanazokwenda kufanya kazi

Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Ajira, Vijana, Wazee na Wenye Ulemavu, Antony Mavunde na kusema lengo likiwa ni serikali kupata taarifa pindi manyanyaso dhidi yao yanapojitokeza.

Mhe. Mavunde ametumia fursa hiyo kutoa onyo kwa Mawakala ambao husafirisha watu kinyume na taratibu na kusema kuwa pindi watakapobainika sheria kali zitachukuliwa dhidi yao ikiwemo kufutiwa usajili, na kuwachukulia hatua ya kutopata usajili tena na kuongeza kwamba wapo watanzania hawapiti katika ofisi za serikali  kitu ambacho kinawafanya wakose hata msaada wa haraka kutoka ubalozini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali