Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi watumia mapanga kuwatimua mafundi bomba

Jumatano , 9th Jun , 2021

Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Deodatus Kinawiro amepiga marufuku vitendo vya wananchi kuwatishia kwa mapanga mafundi wanaotandaza mabomba ya maji katika kijiji cha Rwagati kata ya Kemondo Bukoba Vijijini.

Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Deodatus Kinawiro

Ameongeza kuwa watakaorudia vitendo hivyo watachukuliwa hatua za kisheria maana kufanya hivyo ni kosa la jinai.

Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ikiwamo ya maji, mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa serikali imeweka gharama kubwa ya shilingi bilioni 14.8 kwa ajili ya kuhakikisha inaondoa kero ya maji kwa wananchi wa kata Kemondo na vijiji jirani, na kwamba ili mradi huo utekelezwe kwa ufanisi  wananchi wanapaswa kutoa maeneo yao kidogo kwa ajili ya kupitisha mabomba.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji Rwagati ulikotokea mtafaruku huo Yahya Nuru amesema kuwa wananchi wake walilalamikia mafundi hao kukata migomba yao katika maeneo ambayo hawakukubaliana awali lakini akadai kwa sasa wamekwishakubali kutoa maeneo yao kuruhusu mabomba ya maji yapite, huku mmoja wa wananchi akidai hana mgogoro tena na mafundi hao.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi