Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi walalamikia gharama za vitambulisho

Alhamisi , 22nd Aug , 2019

Wakati uandikishaji wa vitambulisho vya taifa ukiendelea, baadhi ya wananchi ambao wamepata vitambulisho katika maeneo mbalimbali na kukuta jina moja ua mawili yamekosewa, wameonekana kuchanganyikiwa baada ya kusikia kuwa watatakiwa kulipia shilingi elfu ishirini za kitanzania.

Kitambulisho cha mfano cha Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete

East Africa Drive baada ya kupata malalamiko hayo kutoka kwa baadhi ya wananchi, walifanyia kazi kwa kumtafuta Msemaji wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa NIDA, Thomas William ambaye amesema, “Utaratibu ni kwamba kitambulisho kikikosewa majina au hata tarehe na mwaka wa kuzaliwa, kuna fursa ya kubadilisha kwani kinacholengwa ni kuwa na taarifa sahihi za mtu".

"Kuhusiana na malipo ni kwamba mtu atatakiwa kulipa elfu ishirini kama muombaji mwenyewe anataka kubadilisha majina yake mara baada ya kubadili dini au kwa namna yoyote vile lakini napo lazima afuate taratibu za kubadili majina”, ameongeza Thomas.

Msikilize zaidi hapo chini;

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi