Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanafunzi vyuo vikuu hawajui kuoga" - Dkt Shule

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Mhadhiri wa Kitivo cha Sanaa ya Ubunifu, Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dkt Vicensia Shule, amewaomba wazazi kuwajengea watoto wao ujuzi wa masuala ya usafi na kujitegemea kuanzia ngazi ya chini ili kuwaepusha kuwa mizigo isiyobebeka.

Dkt Shule ameyabainisha hayo leo Agosti 16, katika kipindi cha East Africa Breakfast cha East Africa Radio, ambapo amesema vijana wengi wanaotoka katika familia ambazo hazina mfumo mzuri wa malezi kwa watoto ndiyo wanaoongoza kwa uchafu na uharibifu wa mali maofisini.

"Utakuta mtoto ana kisigino cheusi, kesho ukimpa gari la Ukurugenzi huyu si atalipandisha mkaa, kwa sababu hajatokea katika familia aliyofunzwa kujitegemea na kujua uchungu wa vitu, kwa sababu mambo mengi wanafanyiwa", amesema Dkt Shule.

Aidha Dkt Shule ameeleza athari ya malezi mabovu kwa mtoto, ambayo inapelekea watoto kubweteka hata wanapofika ngazi za vyuo kwa kuamini kuwa kila kitu wanaweza kufanyiwa na wazazi wao.

"Mimi nafundisha pale chuoni asilimia kubwa ya wanafunzi hawajui kuoga, nafundisha masomo ya kuigiza pale mwanafunzi utakuta ananuka mpaka aibu'' amesema Dkt Shule.

Ikumbukwe kuwa Dkt Shule ndiye Mhadhiri aliyezua gumzo na mjadala mitandaoni juu ya kukithiri kwa  uwepo wa rushwa ya ngono katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka uliopita.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu