Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliopata mimba shuleni kurejeshwa masomoni

Jumatano , 24th Nov , 2021

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru Serikali imeamua kuwarejesha shuleni wanafunzi wote walioacha masomo kwa kupata ujauzito na utoro.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako

Prof. Joyce Ndalichako ameyasema hayo leo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Mafanikio ya Sekta ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania  leo Novemba 24, 2021 jijini Dodoma.

Aidha Prof. Ndalichako ametangaza kuwa wanafunzi wote 907,802 waliofaulu mtihani wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2022 huku ikisema imawapa kipaumbele wanafunzi wa vijijini katika shule za kitaifa za bweni.

Kwa upande mwingine Prof. Joyce Ndalichako amesema wanafunzi wa darasa la saba wanaofutiwa matokeo kutokana na udanganyifu, wanaoshindwa kufaulu mitihani au wanaopata changamoto zozote wakati wa mitihani yao watapewa fursa ya kurudia mitihani hiyo mwaka unaofuata.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali