Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliomuua mpinga ujangili, wahukumiwa kunyongwa

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Watuhumiwa 11 wa kesi ya mauaji ya mwanaharakati mpinga ujangili wa Tembo, Wayne Lotter aliyeuawa Masaki jijini Dar es Salaam siku ya Agosti 16, 2017, wamehukumiwa kunyongwa baada ya Mahakama kuwakuta na hatia.

Waliohukumiwa kunyongwa kutokana na mauaji ya Wayne Lotter

Hukumu hiyo imesomwa leo Desemba 2, 2022, na Jaji Leila Mgonye wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, ambapo amebinisha kuwa watu hao waliohukumiwa wanaweza kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo. 

Watu waliohukiwa ni wanaume 10 na mwanamke mmoja, ambao wanaume hao 10 wamepelekwa Gereza la Ukonga na Mwanamke akipelekwa Gereza za Segerea.

Wayne ambaye alikuwa mwanzilishi wa PAMS Foundation, taasisi ambayo ilikuwa mstari wa mbele kusaidia kupambana na uwindaji haramu na biashara ya pembe za ndovu nchini Tanzania aliuawa  Agosti 16, 2017 wakati akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere akielekea nyumbani kwake Masaki.

Wayne Lotter aliyeuawa mwaka 2017

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali