Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakurugenzi waomba ulinzi utangazaji matokeo

Jumanne , 29th Sep , 2015

Wakurugenzi watendaji wa halmashauri za mikoa ya Njombe na Ruvuma wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha wakati wa uchaguzi ili kulinda maisha yao baada ya kutangaza matokeo ya uchaguzi.

Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Saitabahu

Hayo yamebainishwa katika semina ya siku mbili ya kuwakumbusha wakurugenzi na wasimamizi wa uchaguzi kwa ngazi ya wilaya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Njombe kwa kanda ya nyanda za juu Kusini yaliyoendeshwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC mwishoni kwa wiki hii.

Wakurugenzi hao wameomba ulinzi wakati wa kuanza uchaguzi na baada ya kutangaza matokeo kwa muda ili kuwaweka salama kwa kuwa matokeo ya uchaguzi yanakuwa yameumiza upande fulani kwa kuwa kuna ushindi na upande utashindwa.

Akiuliza swali kwa tume ya uchaguzi taifa NEC Mkurugenzi wa halmashauri ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Ally Mpenye, amesema kuwa wamekuwa na wasiwasi wakati wa kutangaza matokeo hivyo tume na serikali kwa ujumla ihakikishe kuwa watumishi na wahusika wa utangazaji wa matokeo wanahakikishije ulinzi wa kutosha wakati wote wa uchaguzi.

Akizungumza na waandishi wa habari Afisa wa uchaguzi Kanda ya nyanda za juu Kusini Jane Tungu amesema kuwa tume ratiba yake inasema kuwa kuna vifaa vina wahi katika vituo lakini kama karatasi za kupigia kura hazina haja ya kuwahi kufika katika vituo ndio maana zinapelekwa siku moja kabla ya kupiga kura.

Kwa upande wake mgeni rasmi aliyefungua semina hiyo Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Saitabahu kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Njombe Rehema Nchimbi amesema wasimamizo wakakikishe kuwa hawafanyi kazi kwa mazoea bali wafanye kazi hiyo kwa uzoefu wa kuelewa kanuni za uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya