Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakamatwa wakitorosha madini Shinyanga

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 930. 88 ambayo thamani yake ni Sh Milioni 93 

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 930. 88 ambayo thamani yake ni Sh Milioni 93 

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga Janeth Magomi amesema watuhumiwa hao ambao majina yao yamehifadhiwa kwa uchunguzi zaidi,wamekamatwa na askari katika barabara ya Ilogi Kata ya Bugarama wilayani Kahama inayoelekea  mkoa jirani wa Geita baada ya askari kulitilia mashaka gari lenye namba za usajili T 913 DRX Toyota Land Cruiser  na kulifuatilia.

Baada ya gari hilo kukamatwa na askari waliokuwa doria walikuta watu sita ndani ya gari na walipofanya upekuzi walikuta madini ya dhahabu, pesa taslimu Sh Milioni 97,025,000, mzani wa kielekitroniki wa kupimia dhahabu pamoja na mashine moja ya kupima ubora wa dhahabu.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali