Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waislamu watakiwa kudumisha amani

Jumamosi , 27th Mei , 2017

Waumini wa dini ya kiislamu nchini wametakiwa kuutumia vizuri mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya matendo mema pamoja na kudumisha amani ndani ya taifa la Tanzania

Muft wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubery

 

Wito huo umetolewa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry Ally wakati akizungumza na Hotmix ya EATV kuhusu kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na kusema kuwa katika kipindi hiki waislamu wanapaswa kuwasaidia watu wasiokuwa na uwezo wakiwemo, yatima na watu wengine.

“Nchi ikikosa amani hata shughuli nyingine za maendeleo na ibada haziwezi kufanyika kama inavyopaswa, hivyo basi ni muhimu kwa waislamu nchini kuwa mfano wa kudumisha amani na upendo”. Alisema Mufti

Sheikh Zubery, ameongeza kuwa katika mwezi huo Mtukufu wa Ramadhan Waislamu wanatakiwa kuishi kwa mapenzi na upendo, ikiwa ni pamoja kuwangalia na kuwasaidia wale wasiokuwa na uwezo wakiwemo, mayatima na watu wengine wasiojiweza.

Katika hatua nyingine naye, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum amewasihi waislamu kiujumla kuutumia mwezi mtukufu wa Ramadhan katika kuiombea nchi pamoja na kusameheana kwa waliokoseana bila ya kusahau kutoa misaada kwa watu wasiojiweza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali