
Sukari
Hatua hiyo imekuja kufuatia kikao cha pamoja, baina ya wafanyabiashara wa sukari wa rejareja na jumla na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Festo Kiswaga, kikicholenga kujadili mstakabari wa bei ya bidhaa hiyo.
Katika kikao hicho, Serikali ilisema kuanzia leo Jumanne, itaanza kuwakamata wafanyabiashara watakaobainika kuuza sukari juu ya Sh 1,900, ambayo ni bei elekezi ya mamlaka, na hii ndiyo kauli za Serikali.
Zaidi tazama Video hapa chini