Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Vampire' waibuka Afrika

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Nchini Malawi kumekua na taarifa za kuwepo kwa watu wanaonyonya damu (vempire) na kuibua hali ya hofu kwa wakazi wa nchi hiyo hasa wanaoishi vijijini, huku kukiwa na vurugu kubwa zinazosababisha mauaji ya watu.

Matukio hayo yaliibuka mwezi Septemba ambapo baadhi ya watu akiwemo mmoja wa wabunge nchini humo, kuthibitisha kuwepo kwa wanyonya damu hao wanaohusishwa na imani za kishirikina, akieleza kwamba watu hao wana vyuma ambavyo watu wakiviangalia hupoteza nguvu.

Rais wa nchi hiyo Peter Mutharika amewataka wananchi kuacha mara moja vitendo vya kujichukulia sheria mkononi na kuua watu, huku akiwaonya wanyonya damu hao kuacha mara moja matendo hayo ya imani za kishirikina, na atapambana nao akisema vimeisikitisha serikali ya nchi hiyo.

Kufuatia vitendo hivyo watu 8 mpaka sasa wameuawa kwa kupigwa na makundi ya watu, wakiwahusisha na vitendo vya unyonyaji damu, huku mmoja wao akichomolewa kwenye kituo cha polisi alikowekwa na kupigwa mawe na wananchi mpaka kufa.

Nao Umoja wa Mataifa umeondoa baadhi ya wafanyakazi wake kwenye maeneo ambayo yana vurugu zaidi, na kuwaamuru kuhamia sehemu salama zaidi.

Matukio ya vitendo vya unyonyaji damu yaliwahi kuibuka mwaka 2002, huku yakihusishwa na ushirikina kutoka nchi acheter du cialis en ligne jirani ya Msumbiji.

Imetafsiriwa kutokaVOA & BBC

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA