Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Uzalendo siyo kutukuza asubuhi hadi jioni"- MCT

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga, amesema kuwa uzalendo kwa nchi siyo kutukuza kuanzia asubuhi hadi jioni bali uzalendo ni kuipenda nchi yako na kuhakikisha mtu anaisema serikali mahali ambapo ataona kuna jambo ambalo halitoleta afya kwa Taifa.

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 3, 2021, kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, wakati Dunia ikiadhimisha siku ya Uhuru wa Vyomba vya Habari, huku akiwasihi waandishi wa habari kutokubali kuyumbishwa kwa maslahi ya mtu.

"Uzalendo ni kuipenda nchi yako, kuiheshimu na kuwa na uchungu na nchi yako, uzalendo siyo kuipenda serikali, uzalendo siyo kumpenda Rais, uzalendo ni zaidi ya hapo, uzalendo ni uwezo wa kusema serikali hapa imekosea hili jambo si jema kwa nchi yako na kulitamka, uzalendo siyo kutukuza asubuhi hadi jioni,  uzalendo ni kujadili kwa nia njema maendeleo ya nchi", amesema Mukajanga.

Akizungumzia kuhusu suala la mwelekeo wa vyombo vya habari kuwa huru, Mukajanga amesema, "Mwelekeo wa uhuru wa vyombo vya habari upo kwa sababu matamko ya mkuu wa nchi yanabeba uzito mkubwa na matamko ya Rais Samia yanaelekea huko na jukumu letu kama wanahabari tumepewa mazingira ambayo tunaweza tukasema kwa uhuru zaidi, tunaweza tukadai haki zetu pia tunaweza tukaingia katika mjadala wenye tija". 
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali