Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uwekaji jiwe la msingi ujenzi Ghala la nafaka

Jumamosi , 25th Mar , 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim M. Majaliwa ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ghala la nafaka katika Kijiji cha Ikindilo, Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu

Ameitaka Wizara ya Kilimo kuhakikisha inasimamia kikamilifu uendeshaji wa ghala hilo lenye uwezo wa kuhifadhi tani 1500 za nafaka ili lilete manufaa kwa wakulima wa Wilaya ya Itilima

Katika hatua nyingine Mh Waziri Mkuu Majaliwa amepokea  maombi kutoka kwa wabunge wa Mkoa wa Simiyu wakiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Itilima Mh Njalu Silanga juu ya usimamizi wa ghala hilo la nafaka kuwa chini ya NFRA ili kuongeza ufanisi.

Akiulezea manufaa ya mradi huo Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Anthony Mavunde amesema mradi huo wa ujenzi wa ghala unalenga kwenye udhibiti wa sumukuvu na kuzuia upotevu wa mazao baada ya mavuno kwa kuhusisha ujenzi wa ghala lenye uwezo wa kuhifadhi tani 1500 za nafaka,maabara,sehemu ya kukaushia nafaka na vifaa vya kisasa vya maabara.

“Kwanza kabisa napenda kuipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wetu mpendwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na usaidizi wako Mheshimiwa Waziri mkuu kwa kazi kubwa inayofanyika katika Sekta ya Kilimo….Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa maelekezo ambayo umenipatia hapa naomba niutamkie umma wa wananchi wa Itilima ya kwamba Ghala hili ambalo lipo chini ya Halmashauri tutawakabidhi pia Wakala wa Uhifadhi wa Chakula Tanzania (NFRA) kwa ajili ya uendeshaji wake ili kuongeza ufanisi”Alisema Mavunde
 

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya