Godbless Lema
Rai hiyo ameitoa kupitia ukurasa wake wa Twitter, hii leo Januari 14, 2022.
"Kumekuwepo na matukio mengi ya hatari nchini, watu kujinyonga, watoto kuua wazazi, wazazi kuua watoto pia na ulevi wa kupindukia, kuna hitajika utafiti wa haraka wa afya ya akili za watu, ugumu wa maisha na kupoteza matumaini kumeongeza msongo wa mawazo na uchungu, ni hatari sana, "- ameandika Lema