Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole na Sabaya, alipofikishwa mahakamani leo Juni 18, 2021
Hayo yamejiri leo Juni 18, 2021, Jijini Arusha wakati kesi yake pamoja na wenzake watano ilipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa ajili ya kutajwa tena kwa mara ya pili.
Sabaya na wenzake watafikishwa tena Mahakamani Julai 2, 2021.
Sabaya na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka matano likiwemo la uhujumu uchumi na walipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza Juni 4 mwaka huu.