Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa maji unavyovunja ndoa za watu Babati

Jumamosi , 23rd Mar , 2024

Wananchi zaidi ya 2,400 kutoka kijiji cha GIDABAGHARA wilaya ya Babati mkoani Manyara wanaounda kaya takribani 500 wamesema kukosekana kwa huduma ya maji safi na salama kijiji hapo kumeleta athari hasi kama vile kudhorota kwa amani, kuvunjika kwa ndoa na wengine kupata ujauzito.

Chanzo cha Maji ya Kisima

Wakizungumza na EATV baadhi ya wananchi wameleza kuwa changamoto hiyo ambayo imedumu kwa miaka kadhaa sasa inakwenda kuondoka na wao kunusuru ndoa zao, kuondokana na athari za vifo vilivyotokana na maradhi ya mlipuko baada ya kutumia maji ya visima ambayo si safi na salama. 

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga wakati akifungua mradi wa maji wenye gharama ya zaidi ya TZS. milioni 290 uliowezeshwa na shirika la World Vission ameielekeza mamlaka ya RUWASA mkoani humo kuhakikisha zoezi la usambazaji wa maji kupitia mradi huo linakuwa na gharama nafuu kwa wananchi.

Kwa upande wake Meneja wa Shirika la World Vission Kanda ya Kaskazini anaeleza kuwa mradi huo umesaidia kupunguza mwendo wa zaidi ya saa moja kwa wananchi kuyafuata maji na sasa wakiyapata maji hayo kwa dakika tano mpaka kumi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma