
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala
Makalala ameeleza kuwa askari hao walioonekana kwenye video fupi wakitumia nguvu dhidi ya mtuhumiwa wa utapeli Alex Raphael Kyai kitendo ambacho ni kinyume cha sheria na maadili ya kazi yao.
Soma taarifa kamili hapo chini