Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TYVA wataka ushirikishwaji wa vijana uongezeke

Ijumaa , 17th Mar , 2023

Asasi ya dira ya vijana nchini TYVA imeiomba serikali na wadau wa maendeleo ya vijana kuongeza jitihada za kuhamasisha vijana kushiriki kwenye mchakato wa bajeti kuanzia ngazi ya kijiji. mtaa hadi ngazi ya taifa

Wakizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu tafiti na uchambuzi mdogo juu ya ushiriki wa vijana kwenye mchakato wa maandalizi ya bajeti viongozi wa asasi hiyo wamependekeza serikali kupitia bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania izingatie vipaombele vya vijana kwenye bajeti ya mwaka 2023/2024 kama vilivyopendekezwa na vijana hao kwenye ripoti ya uchambuzi.

Kwa upande wake meneja ufuatiliaji na tathmini TYVA Hellen Malisa amesema kutokana na ripoti ya uchambuzi wa bajeti kwa jicho la vijana ushiriki wa vijana kwenye bajeti ni mdogo na kinachochangia zaidi ni uelewa ni namna gani Kijana anaweza kushiriki

Akitoa mapendekezo matano kwa serikali mratibu wa miradi TYVA Philipo Mulashani amesema wizara ya fedha na Mipango iondoe tozo na kodi kwenye bidhaa na huduma zinazotoa ajira Kwa vijana wengi hususani za kidigitali na kodi za vifaa vinavyotumika kuzalisha. Kunakili na kusambaza kazi za ubunifu
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali