Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tyson ateketeza mamilioni ya pesa kwenye bangi

Jumatano , 14th Aug , 2019

Bondia maarufu Duniani Mike Tyson mwenye miaka 53 kwa sasa, amefunguka suala lake la kahamia katika biashara ya bangi pamoja na matumizi ya bidhaa hizo.

Licha kustaafu mchezo wa ngumi mwaka 2005, Bondia huyo amekuwa ni mtangazaji wa kipindi cha “Hotboxin with Mike Tyson” pamoja na mshirika mwenziye aitwaye Britton ambapo amesema, “huwa tunatumia kiasi cha Milioni 91 za Tanzania katika utumiaji na uvutaji wa bidhaa hizi za bangi, pia tunatumia tani 10 kwa mwezi kwenye bangi tu, ni bangi nyingi sana kila sekunde lazima tuwe nayo”.

Aidha Mike Tyson ameeleza kuwa ana shauku kubwa ya kuingia katika biashara hiyo ya bangi na tayari ameshanunua ekari 40 kwa ajili ya kuzalisha bidhaa hizo ambazo zitaitwa Tyson Ranch na itapatikana Jijini California.

Pia ameendelea kwa kusema wameshawekeza kiasi cha bilioni 1 katika kukuza, kuzalisha, kusambaza kutangaza biashara hiyo.

Watu wengine maarufu ambao wameingia katika biashara hiyo ya bangi niJay Z, Snoop Dogg, Wiz Khalifa na Ray J.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi