Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tusifanye mzaha na janga la corona- Dkt. Gwajima 

Ijumaa , 23rd Jul , 2021

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, amewakumbusha wananchi wanaoendelea kufanya mzaha juu ya janga la corona kuchukua tahadhari badala ya kulichukulia kwa wepesi jambo hilo.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima

Dkt. Gwajima ameyasema hayo leo akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa si vema kila siku kutoa tahimini za wagonjwa waliokufa na waliopo badala yake kila mwannachi achukue tahadhari ili kunusuru afya na uchumi wa nchi.

“Nawakumbusha wanaoendelea kufanya mzaha na corona, wasifanye mzaha na UVIKO-19 na tusichukulie wa wepesi kuwa wimbi la kwanza na la pili lilipita, mimi nipo na huyu yupo, wapo wenzetu wengi walipita ukabaki wewe kwa kusudi la Mungu,” amesema Dkt. Gwajima. 

“Na hata leo wapo waliopita na jana wapo waliopita, tusichukulie kwa wepesi jamii ya virusi vinavyozunguka inabadilika sana na inatofautiana makali ya kushambulia hivyo tusiipe miili yetu kazi ya ziada,” amesema Dk. Dorothy Gwajima.

Pia Dkt Gwajima, amewataka viongozi kuwa mstari wa mbele kupamabna na UVIKO 19 huku akieeleza kwamba wapo baadhi ya viongozi ambao hawafanyi vizuri katika kuelimisha jamii yao juu ya tatizo hili la corona.

“Wapo baadhi ya viongozi wanopamabana na janga hilo, wapo baadhi ya viongozi ambao wamejitoa kiani hawafanyi vizuri wanakasi ndogo kusimamia kuwasaidia wananchi washinde vita, watu wasifanye mzaha.” amesema Dkt. Gwajima.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali