Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tunaungurumisha reli ya kisasa'' - Majaliwa

Jumanne , 20th Apr , 2021

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo, leo Aprili 20, 2021 ametembelea kituo kikuu cha reli ya kisasa ya SGR, Jijini Dar es Salaam na kujionea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katikati wakati wa ukaguzi wa mradi wa SGR

Amekagua jengo kuu ambalo linaitwa Tanzania House ambalo tayari limekamilika kwa asilimia 100, litatumika kwa abiria na wafanyabiashara.

 Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema, ''kufikia mwezi wa Nane tunatarajia kuanza kuungurumisha reli ya kisasa na niwahakikishie watanzania miradi yote iliyoanzishwa itatekelezeka. Mfumo wetu ni ule ule watumishi wakienda tofauti tunakemea hapo hapo.

Jengo la abiria Tanzania House 

Aidha Majaliwa ameongeza kuwa hana mashaka na mkandarasi wa mradi huo ambaye ni kampuni ya Yapi Merkezi na anaamini anajenga mradi huo kwa kiwango cha juu sana.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi