Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tulijua tutashinda" – Pole Pole

Jumapili , 18th Feb , 2018

katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole, amesema chama cha Mapinduzi (CCM) kilijua kuwa kitashinda kwenye chaguzi ndogo zilizofanyika.

Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv, Polepole amesema watu wameiamini CCM kwa sababu inawajibika kwao, hivyo ahlikuwa suala humu wao kupatra ushindi.

“Niwashukuru kwa kujitokeza, niwashukuru kwa kuwa watulivu, wananchi wengi walionyesha kiu yao ya kupata wawakilishi ambao watwachagua wenyewe, wengi wao walieleza wanapenda kuona kazi nzuri ambayo Rais anaifanya inafanyika katika majimbo hayo, matokeo yameeleza sauti ya watanzania katika maeneo haya, CCM kwa mara nyingine tumeshinda kwa kishindo, sisi tulijua kuwa tutashinda, kwa sababu ya kazi nzuri ambayo serikali ya CCM ilikuwa ikiifanya”, amesema Humprey PolePole.

Licha ya hayo Pole pole amesema kuwa kitendo cha vurugu kilichotokea pia walijua kuwa wapinzani wataleta vurugu, kwani kufanya vurugu ndio kawaida yao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi